Friday, July 17, 2015
CHUO KIKUU CHA MOUNT KENYA (MKU) CHAANZISHA USAFIRI KWA KUTUMIA BUS LENYE HUDUMA ZA KIDIGITALI
Chuo kikuu cha Mount Kenya (MKU) limeanzisha mpango wa kusafirisha wanafunzi wa chuo hicho kutumia bus la abiria la kidijitali .
Bus hilo lenye viti vya kubeba abiria 62 liloundwa na Kampuni ya Banbros Ltd ya nchini Kenya linathamani ya shilingi milioni 15 za Kenya likiwa na huduma ya intanet ya wireless ya kasi (Wifi),miundo mbinu ya kupata mawasiliano ya intanet,sehemu za charger ya vifaa vya kiteknohama na televisheni kubwa ambayo inawawezesha wanafunzi kuendelea kujifunza masomo wakiwa safarini.
Makamu Mkuu wa Chuo hicho Prof. Stanley Waudo amesema chuo hicho kimekusudia kutoa elimu bora ya viwango na pia kitahahikisha kina wafikia wanafunzi hata wale ambao wanaweza elimu ya chuo hicho kupitia mtandao.
Popular Posts
-
MTANZANIA ABUNI NA KUTENGENEZA PROGRAM TUMISHI YA KITABU CHA NYIMBO ZA KRISTO KATIKA VIFAA VYA APPLEMkurugenzi wa Mawasiliano wa Union Konferensi ya Kaskazini mwa Tanzania katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Tanzania Gideo...
-
Unapomblock mtu kwenye viber inamaana umezuia kuwasiliana na mtu yoyote kwa njia yoyote katika mtandao wa kijamii wa viber,huta...
-
ILI kuboresha utoaji huduma kwa umma hivi karibuni Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeanzisha utaratibu wa kupokea malala...
-
KAMA HAUKUJUA BASI JUA Na MBUKE TIMES Neno HACKER makusudio yake haswa sio kumaanisha mtu anayefanya vitendo vya kihalifu kwa kutu...
-
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) inatarajia kuzima rasmi mitambo ya analojia ya urushaji wa matangazo ya televisheni katika miji ya ...