Friday, July 17, 2015
CHUO KIKUU CHA MOUNT KENYA (MKU) CHAANZISHA USAFIRI KWA KUTUMIA BUS LENYE HUDUMA ZA KIDIGITALI
Chuo kikuu cha Mount Kenya (MKU) limeanzisha mpango wa kusafirisha wanafunzi wa chuo hicho kutumia bus la abiria la kidijitali .
Bus hilo lenye viti vya kubeba abiria 62 liloundwa na Kampuni ya Banbros Ltd ya nchini Kenya linathamani ya shilingi milioni 15 za Kenya likiwa na huduma ya intanet ya wireless ya kasi (Wifi),miundo mbinu ya kupata mawasiliano ya intanet,sehemu za charger ya vifaa vya kiteknohama na televisheni kubwa ambayo inawawezesha wanafunzi kuendelea kujifunza masomo wakiwa safarini.
Makamu Mkuu wa Chuo hicho Prof. Stanley Waudo amesema chuo hicho kimekusudia kutoa elimu bora ya viwango na pia kitahahikisha kina wafikia wanafunzi hata wale ambao wanaweza elimu ya chuo hicho kupitia mtandao.
Popular Posts
-
Google imezindua simu ya kisasa ya bei rahisi barani Afrika. Simu hiyo, Hot 2 ambayo haina 'makorokoro' mengi itaanza kupati...
-
Maswala ya udukuzi yameendelea kushika kasi katika maeneo mbali mbali ulimwenguni ambapo mataifa mbali mbali yameamua kuunganisha nguvu ...
-
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Profesa Makame Mbarawa, amesema uchumi wa Tanzania unaweza kukua kati ya asil...
-
Jeshi la Kujenga Taifa JKT limekanusha taarifa zinazosambazwa kwa njia ya ujumbe mfupi wa maneno kupitia simu za mkononina mitandao y...
-
Baadhi ya wakazi wa jijini Dar es salaam wakiwa wamepanga foleni ili kununua umeme jana Huduma ya manunuzi ya umeme kwa njia ya miamala...
-
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dares Salaam leo. ...
-
Itakumbukwa Mwishoni mwa mwezi wa tano mwaka huu katika hotuba yangu niliyo iwasilisha kwa wanausalama mitandao tulipo kutana jijini Johan...
-
Mtaalamu wa masuala ya usalama kwenye Mtandao Yusuph Kileo akiwasilisha mada Itakumbukwa katika mkutano uliofanyika mapema mwezi h...
-
Yusuph Kileo akitoa mada kwenye mkutano huo Mazungumzo ya awali kabla ya mkutano wa wanausalama mitandao uliokamilika jijini Johann...
-
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Kudumu za Serikali imebaini madudu yanayofanyika katika uwekezaji wa kampuni za simu nchini Tanzania ...