Kampuni ya simu Tanzania (TTCL) inatarajia kuzindua kituo kikubwa cha kuuzia intaneti Afrika Mashariki mwishoni mwa mwezi julai au Agosti mwaka huu.
Kituo hicho kinatarajiwa kuuza intanet mpaka nje ya nchi,ikiwa ni pamoja na nchi za Malawi,Rwanda,Burundi,Uganda pamoja na nchi nyingine jirani.
Hayo yameelezwa na Ofisa Mkuu wa Mauzo na Masoko wa Kampuni hiyo,Peter Ngota,baada ya kupokea tuzo ya kampuni bora ya mawasiliano.
Amesema kuwa kampuni hiyo pia imekuwa ikitoa huduma za intaneti ambazo zinawezesha upatikanaji wa huduma za matibabu mtando ambayo yanafanyika katika hospitali mbalimbali nchini.
Popular Posts
-
Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imeingilia kati wizi wa fedha kwa kutumia mashine za kutolea fedha (ATM), ambao umeibua hofu kubwa katika s...
-
Itakumbukwa Mwishoni mwa mwezi wa tano mwaka huu katika hotuba yangu niliyo iwasilisha kwa wanausalama mitandao tulipo kutana jijini Johan...
-
Upungufu wa usalama wa herufi za siri za takriban simu milioni 900 umewapa wadukuzi fursa ya kudhibiti simu za android kote duniani...
-
Wabunge wa Tanzania wameibana serikali wakiitaka iboreshe muswada wa sheria ya mifumo ya malipo ili kuzibana kampuni za simu na mabenki,kuto...