Kampuni ya simu Tanzania (TTCL) inatarajia kuzindua kituo kikubwa cha kuuzia intaneti Afrika Mashariki mwishoni mwa mwezi julai au Agosti mwaka huu.
Kituo hicho kinatarajiwa kuuza intanet mpaka nje ya nchi,ikiwa ni pamoja na nchi za Malawi,Rwanda,Burundi,Uganda pamoja na nchi nyingine jirani.
Hayo yameelezwa na Ofisa Mkuu wa Mauzo na Masoko wa Kampuni hiyo,Peter Ngota,baada ya kupokea tuzo ya kampuni bora ya mawasiliano.
Amesema kuwa kampuni hiyo pia imekuwa ikitoa huduma za intaneti ambazo zinawezesha upatikanaji wa huduma za matibabu mtando ambayo yanafanyika katika hospitali mbalimbali nchini.
Popular Posts
-
Mamlaka ya Mawasiliano nchini Tanzania (TCRA) kupitia Mkurugenzi wake Mkuu Profesa John Nkoma imesema namba za simu zilizosajiliwa nchini hu...
-
Mmoja wa wafanyakazi wa Digital Brain Bi.Edith akifafanua jambo kuhusu kampuni hiyo ambayo imeanzisha program ya usimamizi wa hospital na ...
-
Serikali kusambaza tabiti za kufundishia sekondari Yaanza kazi hiyo kwa kushirikiana na taasisi ya Marekani ya Opportunity Education Tr...
-
SERIKALI YA TANZANIA YASEMA:KUTOA TAARIFA ZA SIRI KATIKA MAWASILIANO YA ELEKTRONIKI NI KOSA LA JINAITAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Jana na leo, Serikali ya Tanzania imeona kuzuka kwa tabia ya uvunjaji wa kanuni ya utunza...