Kampuni ya simu Tanzania (TTCL) inatarajia kuzindua kituo kikubwa cha kuuzia intaneti Afrika Mashariki mwishoni mwa mwezi julai au Agosti mwaka huu.
Kituo hicho kinatarajiwa kuuza intanet mpaka nje ya nchi,ikiwa ni pamoja na nchi za Malawi,Rwanda,Burundi,Uganda pamoja na nchi nyingine jirani.
Hayo yameelezwa na Ofisa Mkuu wa Mauzo na Masoko wa Kampuni hiyo,Peter Ngota,baada ya kupokea tuzo ya kampuni bora ya mawasiliano.
Amesema kuwa kampuni hiyo pia imekuwa ikitoa huduma za intaneti ambazo zinawezesha upatikanaji wa huduma za matibabu mtando ambayo yanafanyika katika hospitali mbalimbali nchini.
Popular Posts
-
Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL) jana imekabidhi mradi wa mawasiliano utaotumiwa katika mikoa 12 ya Tanzania kwa ofisi ya Mkaguzi na ...
-
Utafiti uliofanywa mwaka jana na Kampuni ya Utengenezaji wa simu ya Nokia kabla haijabadilishwa na kuwa Microsoft kuhusu biashara ya m...
-
Google just published a new research paper that delves into the details of how tablet owners use their devices. Using diaries, in-home ...