Kampuni ya Huawei ya Tanzania imesaini makubaliano na Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela (NM-AIST) kuhusu kukijengea chuo hicho uwezo zaidi wa kufanya tafiti katika masuala ya teknolojia ya habari na mawasiliano (TEKNOHAMA).
Katika makubaliano hayo,kampuni itakuwa ikitoa Dola 30,000 za Marekani kila mwaka ndani ya miaka mitatu,ili kusaidia chuo nyanja hiyo na hasa kwa wanachuo wa ngazi za uzamili na uzamifu.
Balozi wa China nchini Tanzania,Lu Youqing amesema moja ya mahitaji ya vyuo vinavyofanya tafiti duniani ni kupata vitendea kazi na wataalamu waliobobea.
Popular Posts
-
Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania Dr Godwin Lekundayo akiwaongoza viongozi wenzake katika maombi wakati wa ugawaji wa...
-
China imezifungia tovuti 110 ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kitaifa ya kuzuia masuala ya ngono kwenye mitandao.Imeeleza taarifa ya serikal...
-
Bunduki ya plastiki iliyotengenezwa kwa mashine ya 3D ikifyatua risasi wakati wa majaribio Photo credits: Screenshot from ATF Video Kam...
-
Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dr Jakaya Mrisho Kikwete amezindua Mtambo Maalum wa Usimamizi na Uhakiki wa M...
-
Program Tumishi maarufu ya mawasiliano ya ujumbe wa papo kwa papo katika simu za BlackBerry inayojulikana kwa jina la BlackBerry Mes...
-
Mtandao wa kijamii wa Facebook umenunua programu tumishi ya huduma za ujumbe mfupi wa maneno ya WhatsApp kwa dola za marekani bilioni ...
-
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya kati imewataka watangazaji wa radio, luninga na mitandao ya kijamii kuwa makini na hab...
-
Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL) jana imekabidhi mradi wa mawasiliano utaotumiwa katika mikoa 12 ya Tanzania kwa ofisi ya Mkaguzi na ...
-
Kampuni ya Google kupitia huduma yake ya kutafuta jambo sasa imeanzisha utaratibu wa kutoa majibu ya moja kwa moja kwa maswali kuhus...