Kampuni ya Huawei ya Tanzania imesaini makubaliano na Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela (NM-AIST) kuhusu kukijengea chuo hicho uwezo zaidi wa kufanya tafiti katika masuala ya teknolojia ya habari na mawasiliano (TEKNOHAMA).
Katika makubaliano hayo,kampuni itakuwa ikitoa Dola 30,000 za Marekani kila mwaka ndani ya miaka mitatu,ili kusaidia chuo nyanja hiyo na hasa kwa wanachuo wa ngazi za uzamili na uzamifu.
Balozi wa China nchini Tanzania,Lu Youqing amesema moja ya mahitaji ya vyuo vinavyofanya tafiti duniani ni kupata vitendea kazi na wataalamu waliobobea.
Popular Posts
-
Picha na Salim Kikeke Kuanzia sasa kudanganya kwamba mtu hakupata ujumbe wako wa WhatsApp itakuwa historia, au kud...
-
1.Kutune Gitaa /Kutafuta Ufunguo wa Sauti ya Gitaa Kulikuwa na wakati ambapo bei ya vifaa vya umeme kwa ajili ya kutafuta ...
-
Mtaalamu wa masuala ya usalama kwenye Mtandao Yusuph Kileo akiwasilisha mada Itakumbukwa katika mkutano uliofanyika mapema mwezi h...
-
Apple wametoa Sasisho la Program Endeshi ya iOS 12.2 kwa ajili ya iPhone, iPad, and iPod toleo ambalo litawezesha wenye vifaa vya hivy...
-
Facebook is developing a new smartphone app to track the location of users in an effort to target them with localised adverts, acc...
-
Tokea LAPTOP zimeanza kuingia sokoni zimekua sehemu ya maisha yetu ya kila siku . Mwanzoni hazikua zinapendeza sana , Kubwa na Gha...
-
Idara ya uwakili ya Kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani imesema kuwa Utoaji wa semina na makongamano kupitia mtandao wa intaneti u...
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda akibofya kompyuta kuzindua huduma ya WiFi ya bure kwenye Kituo cha Mabasi cha Sinza, wi...
-
Wakati ugonjwa wa Ebola ukiendelea kuwa tishio katika baadhi ya nchi za Afrika magharibi, Wataalam wa afya nao wameendelea kuweka jitih...
-
Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Tekinolojia nchini Tanzania imeahidi kutoa msaada kwa shirika la posta nchini humo ili liweze kuwa shi...