Sunday, November 6, 2011

MAADHIMISHO YA WIZARA YA MAWASILIANO ,SAYANSI NA TEKNOLOJIA

Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania  itafanya sherehe maalumu za kutimiza miaka 50 ya Uhuru katika Wiki ya Sayansi kuanzia jumatatu 7 Novemba 2011. Kupitia maonyesho hayo, Wizara na taasisi zake zitapata nafasi nyingine ya kuonyesha shughuri zao.

Hiiitakuwa fursa ya kipekee kwa jumuiya ya Kitanzania na Wageni wa nje kushuhudia kwa macho baadhi ya vielelezo vya historia hii yatakayofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja. 

Wizara hiyo imetoa kitabu kinachoonyesha maendeleo ya Wizara hiyo katika kipindi cha miaka 50 hapa nchini waweza kusoma kitabu ama kudownload kitabu hicho hapa:
Kitabu cha Wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia

Popular Posts

Labels