Thursday, November 10, 2011

MAISHA NA TEKNOHAMA ILIPOTEMBELEA MAONYESHO YA WIZARA YA MAWASILIANO,SAYA NSI NA TEKNOLOJIA

Mmoja wa wafanyakazi wa Digital Brain Bi.Edith akifafanua jambo kuhusu kampuni hiyo ambayo imeanzisha program ya usimamizi wa hospital na usalama wa magari kwa kutumia mitandao ya komputa nchini Tanzania


 Mkurungenzi wa Digital Brain Mbuto Chibwaye akifafanua jambo kwa Mtangazaji Maduhu kwenye banda la kampuni hiyo katika viwanja vya mashujaa Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam
Nickson Songolo wa Open Tech Solution akifafanua kuhusu matumizi ya komputa moja kwa watumiaji zaidi ya mmoja

Hellen Gaudenci wa kivuko.com akieleza jinsi wanavyojihusisha biashara mtandao (e-commerce)

Othman Dazi wa Taasis ya Teknolojia Dar es salaam (DIT) akieleza masuala mbalimbali ya teknolojia yanayofanywa na taasisi hiyo.

Kifaa cha kupigia kura kilichobuniwa na DIT

Afisa Mauzo wa Open Tech Solutions akitoa maelezo kwa William Izungo

Ndani ya banda la maonyesho la Open Tech Solution kutoka kulia Darlene Parker,William Izungo,Mtangazaji Maduhu na Johnson Kuga

Popular Posts

Labels