Mkurungenzi wa Digital Brain Mbuto Chibwaye akifafanua jambo kwa Mtangazaji Maduhu kwenye banda la kampuni hiyo katika viwanja vya mashujaa Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam
![]() |
Nickson Songolo wa Open Tech Solution akifafanua kuhusu matumizi ya komputa moja kwa watumiaji zaidi ya mmoja |
![]() |
Hellen Gaudenci wa kivuko.com akieleza jinsi wanavyojihusisha biashara mtandao (e-commerce) |
![]() |
Othman Dazi wa Taasis ya Teknolojia Dar es salaam (DIT) akieleza masuala mbalimbali ya teknolojia yanayofanywa na taasisi hiyo. |
![]() |
Kifaa cha kupigia kura kilichobuniwa na DIT |
![]() |
Afisa Mauzo wa Open Tech Solutions akitoa maelezo kwa William Izungo |
Ndani ya banda la maonyesho la Open Tech Solution kutoka kulia Darlene Parker,William Izungo,Mtangazaji Maduhu na Johnson Kuga