Mamlaka ya Ukanda Maalumu ya Uwekezaji nchini Tanzania (EPZA)na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) wameingia kwenye makubaliano ya kukuza teknolojia ya habari na mawasiliano nchini humo.
Makubaliano hayo yalifanywa na Mkurugenzi wa EPZA,Dr Adelhelm Meru na wa COSTECH,Dr Hassan Mshinda jijini Dar es salaam hivi karibuni.
Akizungumza baada ya utiaji saini huo,Dr Meru alisema hatua hiyo ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi,ambapo eneo la EPZA lililoko Bagamoyo litatumika kwa ajili ya kuligeuza kuwa kituo kikubwa cha maswala ya TEKNOHAMA Afrika Mashariki na Kati.
Amesema eneo hilo lenye ekarai 238 litaendelezwa kwa ushirikiano wa taasis hizo mbili kujenga miundombinu ya maji,barabara na umeme hivyo kuvutia uwekezaji wa kampuni kubwa duniani za DELL,IBM,MICROSOFT na HP kuwekeza.
Friday, May 30, 2014
Popular Posts
-
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Afrika,Raia wa Afrika kutoka Congo-DRC Verone Mankou,amezindua simu aina ya smarthphone na k...
-
--> Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Wamiliki wa Blog (TBN),Joachim Mushi akizungumza na waandishi wa habari Ofisa Uhusiano...
-
Wamiliki wa vituo vya utangazaji vya televisheni nchini, wamesema watasitisha kurusha matangazo ndani ya mwezi mmoja kuanzia sasa kutokan...
-
Polisi Wa kuzuia uhalifu Mtandao. Wakala unaofuatilia matumizi ya mitandao duniani (IAB) umebaini watumiaji wa intaneti nchini Ko...
-
Explore more visuals like this one on the web's largest information design community - Visually .
-
Idara ya Uhamiaji nchini Tanzania imeeleza kujivunia mabadiliko ya utumiaji wa Teknohama katika utendaji wake wa kazi katika kipindi ...
-
Afrika ni Bara la pili kwa kuwa na idadi kubwa ya watu ambapo inafikia takribani bilioni 1.2 (wengi wao wakiishi mijini) na inatarajiwa kon...
-
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inasheherekea maadhimisho ya miaka 10 tangu kuanzishwa kwake huku yakiwemo mafanikio makubwa d...
-
Mitandao ya kijamii ni mingi sana,ingawa facebook umekuwa maarufu pengine kuliko hata baadhi ya vituo vya redio ama televisheni. K...