Mamlaka ya Ukanda Maalumu ya Uwekezaji nchini Tanzania (EPZA)na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) wameingia kwenye makubaliano ya kukuza teknolojia ya habari na mawasiliano nchini humo.
Makubaliano hayo yalifanywa na Mkurugenzi wa EPZA,Dr Adelhelm Meru na wa COSTECH,Dr Hassan Mshinda jijini Dar es salaam hivi karibuni.
Akizungumza baada ya utiaji saini huo,Dr Meru alisema hatua hiyo ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi,ambapo eneo la EPZA lililoko Bagamoyo litatumika kwa ajili ya kuligeuza kuwa kituo kikubwa cha maswala ya TEKNOHAMA Afrika Mashariki na Kati.
Amesema eneo hilo lenye ekarai 238 litaendelezwa kwa ushirikiano wa taasis hizo mbili kujenga miundombinu ya maji,barabara na umeme hivyo kuvutia uwekezaji wa kampuni kubwa duniani za DELL,IBM,MICROSOFT na HP kuwekeza.
Friday, May 30, 2014
Popular Posts
-
Watafiti toka kampuni ya utafiti ya Zscalar wamegundua kuwa,tovuti za kichina zenye picha za ngono zimekuwa zikisamb...
-
Wizara ya Ulinzi wa Uingereza imetoa Nguo za kisasa kwa ajili ya wanajeshi wake wa miaka ijayo . Picha unayoiona ni mfano wa nguo hizo...
-
Mbunge wa Moshi vijijini,Philemon Ndesambulo (CHADEMA) amezushiwa kifo kutokana na baadhi ya watu kusambaza habari hizo kupitia ujumbe mfup...
-
Facebook wametangaza kitu kipya kwa simu za Android walichokipa jina la Home. Kwa muda mrefu kulikuwa na uvumi kuwa Facebook wana...
-
Semina kuhusu mfumo wa utunzaji wa taarifa za washiriki katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato (ACMS) imemalizika jijini Arusha Septem...
-
Baadhi ya Wataalamu wa Teknohama wa Taasis za Kanisa la Waadventista Wataalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Kanisa l...
-
Watu wengi wameshaona filamu ambazo wahalifu wakidukua simu za mikononi hata kama zimezimwa. Kama ili...
-
Serikali ya Tanzania imeomba mkopo wa Dola za Marekani milioni 154 ambazo ni takribani shilingi za kitanzania bilioni 246 kwa India kuwezesh...
-
Mwezeshaji wa kipindi cha Maisha na Teknohama cha Morning Star Radio,Johnson Mziray akichangia jambo kwenye warsha hiyo,pembeni yake mweny...