Mamlaka ya Ukanda Maalumu ya Uwekezaji nchini Tanzania (EPZA)na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) wameingia kwenye makubaliano ya kukuza teknolojia ya habari na mawasiliano nchini humo.
Makubaliano hayo yalifanywa na Mkurugenzi wa EPZA,Dr Adelhelm Meru na wa COSTECH,Dr Hassan Mshinda jijini Dar es salaam hivi karibuni.
Akizungumza baada ya utiaji saini huo,Dr Meru alisema hatua hiyo ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi,ambapo eneo la EPZA lililoko Bagamoyo litatumika kwa ajili ya kuligeuza kuwa kituo kikubwa cha maswala ya TEKNOHAMA Afrika Mashariki na Kati.
Amesema eneo hilo lenye ekarai 238 litaendelezwa kwa ushirikiano wa taasis hizo mbili kujenga miundombinu ya maji,barabara na umeme hivyo kuvutia uwekezaji wa kampuni kubwa duniani za DELL,IBM,MICROSOFT na HP kuwekeza.
Friday, May 30, 2014
Popular Posts
-
Benki ya CRDB imewaonya wateja wake kuwa makini na baadhi ya mitandao inayoibuka na kulaghai kwa kuwataka wananchi,kutoa taarifa zao muhimu ...
-
Miongoni mwa changamoto inayoonekana kwa sasa katika teknolojia ya habari na mawasiliano (Teknohama) ni suala la ulinzi katika mitandao...
-
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Profesa Sifuni Mchome akizungumza kabla ya kuzindua rasmi maonesho ya Tehama yanayoend...
-
Yusuph Kileo baada ya kukabidhiwa tuzo Mtaalamu wa masuala ya usalama mtandaoni Yusu ph Kileo hivi karibuni alipata Tunzo ya ...
-
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia imesema gharama za kupiga simu kutoka mtandao wa kampuni moja ya s...
-
Kampuni ya magari ya Fiat Chrysler kutoka Marekani imeyarudisha magari yake yapatayo milioni 1.4 baada ya watafiti wa usalama kuony...
-
Watumiaji wa programu ya komputa iitwayo Window XP wamepewa tahadhari na kampuni ya Microsoft ambayo ndiyo iliyotengeneza program hiyo ...
-
Na Brown Nyanza Wanasayansi wawili katika nchi ya Ujerumani wamegundua kalamu inayotoa alama pindi mwandishi anapokosea heruf...
-
Mkuu Kituo cha Teknohama cha Ushirikiano wa India na Tanzania (DIT), Dr. Amos Nungu akiwakaribisha wafanyakazi wa Shirika la Umoja w...