Saturday, January 26, 2013
MATUMIZI YA TABLETS SASA YASHIKA KASI
Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa
Konferensi ya Mashariki mwa Tanzania Mchungaji Mark Warwa Marekana, Mchungaji L.Cooper
ambaye ni Makamu wa Kiongozi wa Mkuu katika kanisa la Waadventista wa Sabato
Ulimwenguni (GC) kutoka nchini Marekani akiwa na Mkurugenzi wa
mawasiliano Tanzania Mchungaji Mussa Mika wakiwa na tablets zao kwenye mkutano wa viongozi wa kanisa hilo toka katika kanda tatu nchini Tanzania uliofanyika Morogoro,matumi ya vifaa hivyo vya kiteknohama sasa yanaonekana kushika kasi kwa watu wa kada mbalimbali
Popular Posts
-
Moja ya sehemu iliyofanikiwa kufanya mapinduzi makubwa ya teknolojia ya sayansi ni teknolojia ya habari na mawasiliano. Katika mapin...
-
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa kuzingatia kifungu 5 (b) na (e) cha Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ya 2003 inatoa t...
-
Hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 2013 inakadiliwa kuwa jumla ya program tumishi kwenye simu zitakazo kuwa zimepakuliwa duniani zitakuwa ni bi...
-
Baadhi ya watayarishaji wa kipindi cha Maisha na Teknohama Masatu G.M,Johnson Kuga na Maduhu Emanueli Maisha na Teknohama ni kipindi kina...
-
Upungufu wa usalama wa herufi za siri za takriban simu milioni 900 umewapa wadukuzi fursa ya kudhibiti simu za android kote duniani...
-
Serikali ya Tanzania imesema shilingi trioni 54.4 zitakuwepo kwenye hatari ya kuingia katika mikono ya wahalifu wa mitandao,endapo Sheria za...
-
Kumekuwa na changamoto ya kujilinda na watu ambao wanaweza kukuwekea maelezo ama kukutagg picha usiyoihitaji kwenye timeline ...
-
Habari si nzuri kwa wanaume wanaopenda kutumia wireless internet kwenye laptop zao wakiwa wameziweka laptop zao mapajani au karibu na viun...