Saturday, January 26, 2013
MATUMIZI YA TABLETS SASA YASHIKA KASI
Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa
Konferensi ya Mashariki mwa Tanzania Mchungaji Mark Warwa Marekana, Mchungaji L.Cooper
ambaye ni Makamu wa Kiongozi wa Mkuu katika kanisa la Waadventista wa Sabato
Ulimwenguni (GC) kutoka nchini Marekani akiwa na Mkurugenzi wa
mawasiliano Tanzania Mchungaji Mussa Mika wakiwa na tablets zao kwenye mkutano wa viongozi wa kanisa hilo toka katika kanda tatu nchini Tanzania uliofanyika Morogoro,matumi ya vifaa hivyo vya kiteknohama sasa yanaonekana kushika kasi kwa watu wa kada mbalimbali
Popular Posts
-
1.Kutune Gitaa /Kutafuta Ufunguo wa Sauti ya Gitaa Kulikuwa na wakati ambapo bei ya vifaa vya umeme kwa ajili ya kutafuta ...
-
Huduma ya ujumbe Whatsapp imetangaza kuwa itayalinda mawasiliano ya wateja wake kuanzia hapo siku ya Jumanne April 5,mwaka huu Huk...
-
Serikali ya Tanzania inapenda kuufahamisha umma wa Watanzania kuwa hivi karibuni kumezuka kundi la Watu wadanganyifu ambao wamekuwa wakit...
-
Serikali ya Kenya imesema watu watakaopatikana na hatia ya kutuma ujumbe wa kingono kwa kutumia simu za kiganjani na intaneti watafungw...
-
MTANZANIA ABUNI NA KUTENGENEZA PROGRAM TUMISHI YA KITABU CHA NYIMBO ZA KRISTO KATIKA VIFAA VYA APPLEMkurugenzi wa Mawasiliano wa Union Konferensi ya Kaskazini mwa Tanzania katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Tanzania Gideo...
-
Benki ya CRDB imewaonya wateja wake kuwa makini na baadhi ya mitandao inayoibuka na kulaghai kwa kuwataka wananchi,kutoa taarifa zao muhimu ...
-
ILI kuboresha utoaji huduma kwa umma hivi karibuni Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeanzisha utaratibu wa kupokea malala...
-
Kuwa na Akaunti ya Facebook ni kwa manufaa yako na manufaa ya Facebook Facebook ambayo kwa sasa inapatikana katika lugha 70 ul...
-
Maofisa wa WAMOJA ICT Consulting Limited Mtangazaji Maduhu na WAMOJA ICT Consulting Limited Kampuni ya WAMOJA ICT Consulting Li...