Saturday, June 14, 2014
GOOGLE YATUMIA MOZILLA FIREFOX KUTANGAZA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA
Toka kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la mchezo wa kandanda huko nchini Brazil juni 12,mwaka huu Google kupitia kivinjari chake cha Mozilla Firefox wamekuwa wakiweka matangazo ya mchezo unaotarajiwa kuchezwa.
Utaratibu huo umekuwa ukibadilika kwa kila mechi inayofanyika, pichani ni picha iliyokuwepo wakati wa mchezo baina ya Uingereza na Italia ambao unaonesha rangi nyeupe iliyotumiwa katika jezi za wachezaji wa Uingereza na Bluu kwa wachezaji wa Italia.
Popular Posts
-
Jeshi la Polisi Tanzania limeanza kunasa watu wanaodaiwa kutuma ujumbe wa matusi na wengine kupiga simu kwa spika wa Bunge la nchi hiyo Anne...
-
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Afrika,Raia wa Afrika kutoka Congo-DRC Verone Mankou,amezindua simu aina ya smarthphone na k...
-
--> Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Wamiliki wa Blog (TBN),Joachim Mushi akizungumza na waandishi wa habari Ofisa Uhusiano...
-
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda akibofya kompyuta kuzindua huduma ya WiFi ya bure kwenye Kituo cha Mabasi cha Sinza, wi...
-
Wamiliki wa vituo vya utangazaji vya televisheni nchini, wamesema watasitisha kurusha matangazo ndani ya mwezi mmoja kuanzia sasa kutokan...
-
Shehena ya Mizigo inayopitia bandari na mipaka ya Tanzania kwenda nchi za nje kuanzia mwakani itakuwa ikifuatiliwa kwa mfumo wa kielektronik...
-
ILI kuboresha utoaji huduma kwa umma hivi karibuni Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeanzisha utaratibu wa kupokea malala...
-
Polisi Wa kuzuia uhalifu Mtandao. Wakala unaofuatilia matumizi ya mitandao duniani (IAB) umebaini watumiaji wa intaneti nchini Ko...
-
Explore more visuals like this one on the web's largest information design community - Visually .