Saturday, June 14, 2014
GOOGLE YATUMIA MOZILLA FIREFOX KUTANGAZA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA
Toka kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la mchezo wa kandanda huko nchini Brazil juni 12,mwaka huu Google kupitia kivinjari chake cha Mozilla Firefox wamekuwa wakiweka matangazo ya mchezo unaotarajiwa kuchezwa.
Utaratibu huo umekuwa ukibadilika kwa kila mechi inayofanyika, pichani ni picha iliyokuwepo wakati wa mchezo baina ya Uingereza na Italia ambao unaonesha rangi nyeupe iliyotumiwa katika jezi za wachezaji wa Uingereza na Bluu kwa wachezaji wa Italia.
Popular Posts
-
Mamlaka ya Mawasilino Tanzania, TCRA, imesema watumiaji wa namba za simu ambazo hazikusajiliwa, watakatiwa mawasiliano ifikapo Juni M...
-
Polisi kanda maalumu ya Dar es salaam wamezungumzia utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi na kusema wengi wanaofanya hivyo husajili...
-
Google I/O ni kongamano linalofanyika kila mwaka California kwa kuwakutanisha Developers wa bidhaa za Google kama Android , Chrome , Chrom...
-
Afisa wa Taasisi ya uwezeshaji na ujengaji uwezo kwa wateknohama nchini KINU, Catherinerose Barretto akimkabidhi cheti Ally Said toka P...
-
Picha na Salim Kikeke Kuanzia sasa kudanganya kwamba mtu hakupata ujumbe wako wa WhatsApp itakuwa historia, au kud...
-
Microsoft is switching off its Windows Live Messenger service on 15 March. On that date Messenger log-ins will no longer work a...
-
Mwezeshaji wa kipindi cha Maisha na Teknohama cha Morning Star Radio,Johnson Mziray akichangia jambo kwenye warsha hiyo,pembeni yake mweny...
-
Idadi ya watu wanaotumia huduma ya mtandao wa Intaneti nchini Tanzania imeongezeka kutoka watu 26,000 mwaka 2000 hadi kufikia watu mili...
-
Masomo kwa njia ya mtandao(Online Studies) kwa miaka ya hivi karibuni yamekuwa yakitolewa bure na baadhi ya Vyuo Duniani. Mfano katika...