Saturday, June 14, 2014
GOOGLE YATUMIA MOZILLA FIREFOX KUTANGAZA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA
Toka kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la mchezo wa kandanda huko nchini Brazil juni 12,mwaka huu Google kupitia kivinjari chake cha Mozilla Firefox wamekuwa wakiweka matangazo ya mchezo unaotarajiwa kuchezwa.
Utaratibu huo umekuwa ukibadilika kwa kila mechi inayofanyika, pichani ni picha iliyokuwepo wakati wa mchezo baina ya Uingereza na Italia ambao unaonesha rangi nyeupe iliyotumiwa katika jezi za wachezaji wa Uingereza na Bluu kwa wachezaji wa Italia.
Popular Posts
-
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya kati imewataka watangazaji wa radio, luninga na mitandao ya kijamii kuwa makini na hab...
-
Google just published a new research paper that delves into the details of how tablet owners use their devices. Using diaries, in-home ...
-
Moja ya sehemu iliyofanikiwa kufanya mapinduzi makubwa ya teknolojia ya sayansi ni teknolojia ya habari na mawasiliano. Katika mapin...
-
Did you know? If you visit a cyber cafe and find any black pin attached to your CPU as shown in the picture, kindly do not use that syste...
-
Mkuu wa Huduma za Fedha kwa njia ya simu wa Tigo Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam...
-
Virusi wa malware waliwekwa kwenye ATM kwa kutumia flash za USB Mwishoni mwa mwaka 2013 watafiti wamegundua namna wahalifu kwa ...
-
Kikundi cha kihalifu mtandao cha # Anonymous kimetekeleza mashambulizi mtandao dhidi ya Nchi ya Angola na kufanikiwa kudukua na kua...
-
Wadau kutoka kampuni na mashirika mbalimbali nchini Tanzania wameshauri kutolewa elimu zaidi kuhusu matumizi sahihi ya Teknolojia ya Habari ...
-
Natumaini umeshawahi kusikia ama unafahamu kuhusu teknolojia ya kusafirisha mawimbi ya sauti kwa njia ya intaneti ( VoIP) ambayo si tek...