Saturday, June 14, 2014
GOOGLE YATUMIA MOZILLA FIREFOX KUTANGAZA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA
Toka kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la mchezo wa kandanda huko nchini Brazil juni 12,mwaka huu Google kupitia kivinjari chake cha Mozilla Firefox wamekuwa wakiweka matangazo ya mchezo unaotarajiwa kuchezwa.
Utaratibu huo umekuwa ukibadilika kwa kila mechi inayofanyika, pichani ni picha iliyokuwepo wakati wa mchezo baina ya Uingereza na Italia ambao unaonesha rangi nyeupe iliyotumiwa katika jezi za wachezaji wa Uingereza na Bluu kwa wachezaji wa Italia.
Popular Posts
-
Baadhi ya watayarishaji wa kipindi cha Maisha na Teknohama Masatu G.M,Johnson Kuga na Maduhu Emanueli Maisha na Teknohama ni kipindi kina...
-
Benki ya CRDB imewaonya wateja wake kuwa makini na baadhi ya mitandao inayoibuka na kulaghai kwa kuwataka wananchi,kutoa taarifa zao muhimu ...
-
Mahakama ya kimataifa ya ICC imetoa onyo kali kwa wanablogu nchini Kenya,wanaotoa taarifa kuhusu mashahidi waliofika mbele ya mahakama ya ...
-
Watu wanne huko nchini Marekani wameushitaki mtandao wa kijamii wa LinkedIn unaowaunganisha wanataaluma kuwa umekuwa ukii...
-
Facebook imekuwa kama Google ya mitandao ya kijamii. kama sasa hivi hauposti status yako basi unapandisha picha au unajibu quiz ...
-
Kwa watumiaji wa Facebook na mitandao jamii mingine jaribuni kuwa makini na kile mnachokiweka ama kutoa maoni katika suala lolote kwenye kur...
-
Shirika la Habari la Reuters limeripoti kuwa Wizara ya Sheria nchini Marekani imeanzisha uchunguzi kwa kile kinachosemekana ni ufichuaj...
-
Laini za simu za mitandao ya simu nchini Tanzania ambazo hazijasajiliwa zitazimwa rasmi Julai 10, mwaka huu. Naibu Waz...
-
Akaunti ya Twitter ya kundi la wanamgambo wa Al Shabaab imesitishwa kwa mara nyingine. Ujumbe kutoka kwa Twitter katika akaunti yake ...