Saturday, October 19, 2013
KOREA YA KUSINI NA JAPAN ZAONGOZA KWA KASI YA INTANETI DUNIANI
Kwa muda sasa Korea ya Kusini imeonekana kuwa na asilimia kubwa ya uwezo wa kasi ya intaneti duniani.
Katika robo ya pili ya mwaka 2013, Watumiaji wa intaneti wa Korea ya Kusini wametumia huduma hiyo kwa wastani wa kasi ya 13.3 Mbps, ambayo ni asilimia 53 zaidi ya ile ya Marekani ambayo kiwango chake ni asilimia 8.7 Mbps.
Tovuti ya statista imeeleza kuwa 8.7 Mbps, ambapo inatumika muda mfupi chini ya saa moja kupakua filamu ya masaa mawili yenye ubora wa HD ambayo ni sawa a GB 3- GB 4.
Marekani iko katika nafasi ya nane kwenye tawimu za dunia za intanet zenye kasi kubwa ambapo Korea ya Kusini ndio inayoongoza,Japani ikiwa katika nafasi ya pili ya tatu ni Uswizi,huku Hong Kong ikiwa katika nafasi ya nne.
Popular Posts
-
Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania Dr Godwin Lekundayo akiwaongoza viongozi wenzake katika maombi wakati wa ugawaji wa...
-
China imezifungia tovuti 110 ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kitaifa ya kuzuia masuala ya ngono kwenye mitandao.Imeeleza taarifa ya serikal...
-
Bunduki ya plastiki iliyotengenezwa kwa mashine ya 3D ikifyatua risasi wakati wa majaribio Photo credits: Screenshot from ATF Video Kam...
-
Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dr Jakaya Mrisho Kikwete amezindua Mtambo Maalum wa Usimamizi na Uhakiki wa M...
-
Program Tumishi maarufu ya mawasiliano ya ujumbe wa papo kwa papo katika simu za BlackBerry inayojulikana kwa jina la BlackBerry Mes...
-
Mtandao wa kijamii wa Facebook umenunua programu tumishi ya huduma za ujumbe mfupi wa maneno ya WhatsApp kwa dola za marekani bilioni ...
-
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya kati imewataka watangazaji wa radio, luninga na mitandao ya kijamii kuwa makini na hab...
-
Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL) jana imekabidhi mradi wa mawasiliano utaotumiwa katika mikoa 12 ya Tanzania kwa ofisi ya Mkaguzi na ...
-
Kampuni ya Google kupitia huduma yake ya kutafuta jambo sasa imeanzisha utaratibu wa kutoa majibu ya moja kwa moja kwa maswali kuhus...
