Saturday, October 19, 2013
KOREA YA KUSINI NA JAPAN ZAONGOZA KWA KASI YA INTANETI DUNIANI
Kwa muda sasa Korea ya Kusini imeonekana kuwa na asilimia kubwa ya uwezo wa kasi ya intaneti duniani.
Katika robo ya pili ya mwaka 2013, Watumiaji wa intaneti wa Korea ya Kusini wametumia huduma hiyo kwa wastani wa kasi ya 13.3 Mbps, ambayo ni asilimia 53 zaidi ya ile ya Marekani ambayo kiwango chake ni asilimia 8.7 Mbps.
Tovuti ya statista imeeleza kuwa 8.7 Mbps, ambapo inatumika muda mfupi chini ya saa moja kupakua filamu ya masaa mawili yenye ubora wa HD ambayo ni sawa a GB 3- GB 4.
Marekani iko katika nafasi ya nane kwenye tawimu za dunia za intanet zenye kasi kubwa ambapo Korea ya Kusini ndio inayoongoza,Japani ikiwa katika nafasi ya pili ya tatu ni Uswizi,huku Hong Kong ikiwa katika nafasi ya nne.
Popular Posts
-
Microsoft is switching off its Windows Live Messenger service on 15 March. On that date Messenger log-ins will no longer work a...
-
Watu wengi wameshaona filamu ambazo wahalifu wakidukua simu za mikononi hata kama zimezimwa. Kama ili...
-
Na Yusuph Kileo Nchi ya Tanzania yabahatika tena kwa mara ya tatu kuwa mwenyeji wa mkutano wa “Connect 2 Connect” ambapo kauli mbiu ya...
-
Kutoka Kushoto Gerald Masatu,Mtangazaji Maduhu,Brown Nyanza(IFM),Mama Kagize,Johnson Kuga Mzirai na Jonathan Mnyela Jonathan Mnyela ...
-
Imeelezwa kuwa wananachi wengi bado hawana uelewa wa kutosha juu ya haki zao za msingi katika huduma za mawasiliano wanazotumia, hali ambayo...
-
Wakati bado mafanikio mbali mbali yakijadiliwa wahalifu mtandao wamegundulika kuja na uhalifu unaotafsiriwa kuwa ni wa kihistoria na uliof...
-
Jeshi la Polisi Tanzania limeanza kunasa watu wanaodaiwa kutuma ujumbe wa matusi na wengine kupiga simu kwa spika wa Bunge la nchi hiyo Anne...
