Saturday, October 19, 2013
KOREA YA KUSINI NA JAPAN ZAONGOZA KWA KASI YA INTANETI DUNIANI
Kwa muda sasa Korea ya Kusini imeonekana kuwa na asilimia kubwa ya uwezo wa kasi ya intaneti duniani.
Katika robo ya pili ya mwaka 2013, Watumiaji wa intaneti wa Korea ya Kusini wametumia huduma hiyo kwa wastani wa kasi ya 13.3 Mbps, ambayo ni asilimia 53 zaidi ya ile ya Marekani ambayo kiwango chake ni asilimia 8.7 Mbps.
Tovuti ya statista imeeleza kuwa 8.7 Mbps, ambapo inatumika muda mfupi chini ya saa moja kupakua filamu ya masaa mawili yenye ubora wa HD ambayo ni sawa a GB 3- GB 4.
Marekani iko katika nafasi ya nane kwenye tawimu za dunia za intanet zenye kasi kubwa ambapo Korea ya Kusini ndio inayoongoza,Japani ikiwa katika nafasi ya pili ya tatu ni Uswizi,huku Hong Kong ikiwa katika nafasi ya nne.
Popular Posts
-
Mamlaka ya Mawasilino Tanzania, TCRA, imesema watumiaji wa namba za simu ambazo hazikusajiliwa, watakatiwa mawasiliano ifikapo Juni M...
-
Polisi kanda maalumu ya Dar es salaam wamezungumzia utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi na kusema wengi wanaofanya hivyo husajili...
-
Google I/O ni kongamano linalofanyika kila mwaka California kwa kuwakutanisha Developers wa bidhaa za Google kama Android , Chrome , Chrom...
-
Afisa wa Taasisi ya uwezeshaji na ujengaji uwezo kwa wateknohama nchini KINU, Catherinerose Barretto akimkabidhi cheti Ally Said toka P...
-
Picha na Salim Kikeke Kuanzia sasa kudanganya kwamba mtu hakupata ujumbe wako wa WhatsApp itakuwa historia, au kud...
-
Microsoft is switching off its Windows Live Messenger service on 15 March. On that date Messenger log-ins will no longer work a...
-
Mwezeshaji wa kipindi cha Maisha na Teknohama cha Morning Star Radio,Johnson Mziray akichangia jambo kwenye warsha hiyo,pembeni yake mweny...
-
Idadi ya watu wanaotumia huduma ya mtandao wa Intaneti nchini Tanzania imeongezeka kutoka watu 26,000 mwaka 2000 hadi kufikia watu mili...
-
Masomo kwa njia ya mtandao(Online Studies) kwa miaka ya hivi karibuni yamekuwa yakitolewa bure na baadhi ya Vyuo Duniani. Mfano katika...