Saturday, October 19, 2013
KOREA YA KUSINI NA JAPAN ZAONGOZA KWA KASI YA INTANETI DUNIANI
Kwa muda sasa Korea ya Kusini imeonekana kuwa na asilimia kubwa ya uwezo wa kasi ya intaneti duniani.
Katika robo ya pili ya mwaka 2013, Watumiaji wa intaneti wa Korea ya Kusini wametumia huduma hiyo kwa wastani wa kasi ya 13.3 Mbps, ambayo ni asilimia 53 zaidi ya ile ya Marekani ambayo kiwango chake ni asilimia 8.7 Mbps.
Tovuti ya statista imeeleza kuwa 8.7 Mbps, ambapo inatumika muda mfupi chini ya saa moja kupakua filamu ya masaa mawili yenye ubora wa HD ambayo ni sawa a GB 3- GB 4.
Marekani iko katika nafasi ya nane kwenye tawimu za dunia za intanet zenye kasi kubwa ambapo Korea ya Kusini ndio inayoongoza,Japani ikiwa katika nafasi ya pili ya tatu ni Uswizi,huku Hong Kong ikiwa katika nafasi ya nne.
Popular Posts
-
MTANZANIA ABUNI NA KUTENGENEZA PROGRAM TUMISHI YA KITABU CHA NYIMBO ZA KRISTO KATIKA VIFAA VYA APPLEMkurugenzi wa Mawasiliano wa Union Konferensi ya Kaskazini mwa Tanzania katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Tanzania Gideo...
-
Unapomblock mtu kwenye viber inamaana umezuia kuwasiliana na mtu yoyote kwa njia yoyote katika mtandao wa kijamii wa viber,huta...
-
ILI kuboresha utoaji huduma kwa umma hivi karibuni Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeanzisha utaratibu wa kupokea malala...
-
KAMA HAUKUJUA BASI JUA Na MBUKE TIMES Neno HACKER makusudio yake haswa sio kumaanisha mtu anayefanya vitendo vya kihalifu kwa kutu...
-
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) inatarajia kuzima rasmi mitambo ya analojia ya urushaji wa matangazo ya televisheni katika miji ya ...