Hii ni kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na tovuti ya mashable inayoandika habari mbalimbali za teknolojia ya habari na mawasiliano (TEKNOHAMA).
Thursday, October 3, 2013
PROGRAM TUMISHI ZINAZOPAKULIWA KATIKA SIMU KUFIKIA ZAIDI YA BILIONI 100 MWAKA HUU
Hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 2013 inakadiliwa kuwa jumla ya program tumishi kwenye simu zitakazo kuwa zimepakuliwa duniani zitakuwa ni bilioni 102,idadi ambayo itakuwa imevuka lengo kwa kiasi cha milioni 268 lilokuwa linakadiriwa kufikia mwaka 2017.Ingawa ni asilimia 9 tu ya program tumishi za kulipia katika idadi hiyo.
Hii ni kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na tovuti ya mashable inayoandika habari mbalimbali za teknolojia ya habari na mawasiliano (TEKNOHAMA).
Hii ni kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na tovuti ya mashable inayoandika habari mbalimbali za teknolojia ya habari na mawasiliano (TEKNOHAMA).
Popular Posts
-
Baadhi ya watayarishaji wa kipindi cha Maisha na Teknohama Masatu G.M,Johnson Kuga na Maduhu Emanueli Maisha na Teknohama ni kipindi kina...
-
Benki ya CRDB imewaonya wateja wake kuwa makini na baadhi ya mitandao inayoibuka na kulaghai kwa kuwataka wananchi,kutoa taarifa zao muhimu ...
-
Mahakama ya kimataifa ya ICC imetoa onyo kali kwa wanablogu nchini Kenya,wanaotoa taarifa kuhusu mashahidi waliofika mbele ya mahakama ya ...
-
Watu wanne huko nchini Marekani wameushitaki mtandao wa kijamii wa LinkedIn unaowaunganisha wanataaluma kuwa umekuwa ukii...
-
Facebook imekuwa kama Google ya mitandao ya kijamii. kama sasa hivi hauposti status yako basi unapandisha picha au unajibu quiz ...
-
Kwa watumiaji wa Facebook na mitandao jamii mingine jaribuni kuwa makini na kile mnachokiweka ama kutoa maoni katika suala lolote kwenye kur...
-
Shirika la Habari la Reuters limeripoti kuwa Wizara ya Sheria nchini Marekani imeanzisha uchunguzi kwa kile kinachosemekana ni ufichuaj...
-
Laini za simu za mitandao ya simu nchini Tanzania ambazo hazijasajiliwa zitazimwa rasmi Julai 10, mwaka huu. Naibu Waz...
-
Kwa muda sasa Korea ya Kusini imeonekana kuwa na asilimia kubwa ya uwezo wa kasi ya intaneti duniani. Katika robo ya pili ya mwaka 20...