Hii ni kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na tovuti ya mashable inayoandika habari mbalimbali za teknolojia ya habari na mawasiliano (TEKNOHAMA).
Thursday, October 3, 2013
PROGRAM TUMISHI ZINAZOPAKULIWA KATIKA SIMU KUFIKIA ZAIDI YA BILIONI 100 MWAKA HUU
Hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 2013 inakadiliwa kuwa jumla ya program tumishi kwenye simu zitakazo kuwa zimepakuliwa duniani zitakuwa ni bilioni 102,idadi ambayo itakuwa imevuka lengo kwa kiasi cha milioni 268 lilokuwa linakadiriwa kufikia mwaka 2017.Ingawa ni asilimia 9 tu ya program tumishi za kulipia katika idadi hiyo.
Hii ni kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na tovuti ya mashable inayoandika habari mbalimbali za teknolojia ya habari na mawasiliano (TEKNOHAMA).
Hii ni kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na tovuti ya mashable inayoandika habari mbalimbali za teknolojia ya habari na mawasiliano (TEKNOHAMA).
Popular Posts
-
Wakulima nchini Nigeria wamepewa bure simu za mikononi,Ingawa vyama vya upinzani vinakandia hali hiyo wananchi wengi wanaamini huo ni...
-
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dares Salaam leo. ...
-
Miongoni mwa changamoto inayoonekana kwa sasa katika teknolojia ya habari na mawasiliano (Teknohama) ni suala la ulinzi katika mitandao...
-
Makubaliano ambayo yangeiruhusu kampuni kubwa ya simu ya Marekani, AT&T kuinunua kampuni ya T-mobile tawi la Marekani la kampuni ya Uj...
-
Baadhi ya Wataalamu wa Teknohama wa Taasis za Kanisa la Waadventista Wataalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Kanisa l...