Saturday, September 5, 2015
SAMSUNG NA MIT KUTENGENEZA BETRI ZA SIMU ZINAZOTUNZA NISHATI YA UMEME KWA MUDA MREFU
Huenda umekuwa ukikumbana na tatizo la betri za simu hizi za kisasa kuisha nguvu yake ya nishati ya umeme mapema yaani kuisha chaji,watumiaji wengi wanadai kuwa simu za kisasa kuwa na program tumishi nyingi zinazfanyakazi kwa wakati mmoja yaweza kuwa ni sababu ya kuisha kwa betri katika simu za kisasa.
Tatizo hili huenda likapata ufumbuzi kwa sababu kampuni ya simu ya Samsung kwa kushirikiana na Taasisi ya Teknolojia Massachusetts (MIT) wameanza mpango mkakati wa kutengeneza betri za simu zisizokwisha uwezo wake wa kutoa nishati ya umeme katika simu.
Pia watafiti wanaendelea na utafiti utakaowezesha kuchaji simu za kisasa kwa kutumia teknolojia ya WiFi.
Kwa kawaida betri ya simu imeundwa kwa vitu vitatu moja ni kimiminika kiitwacho electrolyte,wanasayansi wamegundua njia ambayo itasaidia kuunda betri iinayotumika muda mrefu kwa kutengeneza electrolyte ambayo haiko katika hali ya kimiminika.
Njia itasaidia kuondoa tatizo la betri kuisha chaji na kuzimika kwa simu.
Popular Posts
-
Baadhi ya watayarishaji wa kipindi cha Maisha na Teknohama Masatu G.M,Johnson Kuga na Maduhu Emanueli Maisha na Teknohama ni kipindi kina...
-
Benki ya CRDB imewaonya wateja wake kuwa makini na baadhi ya mitandao inayoibuka na kulaghai kwa kuwataka wananchi,kutoa taarifa zao muhimu ...
-
Mahakama ya kimataifa ya ICC imetoa onyo kali kwa wanablogu nchini Kenya,wanaotoa taarifa kuhusu mashahidi waliofika mbele ya mahakama ya ...
-
Watu wanne huko nchini Marekani wameushitaki mtandao wa kijamii wa LinkedIn unaowaunganisha wanataaluma kuwa umekuwa ukii...
-
Facebook imekuwa kama Google ya mitandao ya kijamii. kama sasa hivi hauposti status yako basi unapandisha picha au unajibu quiz ...
-
Kwa watumiaji wa Facebook na mitandao jamii mingine jaribuni kuwa makini na kile mnachokiweka ama kutoa maoni katika suala lolote kwenye kur...
-
Shirika la Habari la Reuters limeripoti kuwa Wizara ya Sheria nchini Marekani imeanzisha uchunguzi kwa kile kinachosemekana ni ufichuaj...
-
Laini za simu za mitandao ya simu nchini Tanzania ambazo hazijasajiliwa zitazimwa rasmi Julai 10, mwaka huu. Naibu Waz...
-
Akaunti ya Twitter ya kundi la wanamgambo wa Al Shabaab imesitishwa kwa mara nyingine. Ujumbe kutoka kwa Twitter katika akaunti yake ...