Wednesday, September 16, 2015

SIKILIZA ALICHOSEMA KAMANDA WA JESHI LA POLISI KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI KUHUSU TOZO KWA NJIA YA KIELEKITRONIKI


 
Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani mkoani Dar es salaam limeanzisha kanuni ya tozo la papo kwa hapo kwa njia ya kielektroniki na kanuni ya kuweka nukta katika lesseni za udereva.

Kamanda wa Polisi kikosi cha usalama barabarani Mohamed Mpinga ameeleza leo kuwa hii ni  kutokana na kuongezeka kwa malalamiko toka kwa wamiliki wa magari na madereva  kulipishwa faini na askari barabarani pasipo kupewa risiti halali za serikali 
Maelezo ya Kamanda Mpinga yote yako hapa

Popular Posts

Labels