Saturday, September 7, 2013

WASHINDI WA SHINDANO LA TWEET BORA ZA VITA DHIDI YA UMASKINI MWEZI AGOSTI WAPEWA ZAWADI

Embedded image permalink
Mwenyekiti wa IPP Reginald Mengi akitoa zawadi kwa washindi wa tweet bora kwa mwezi wa nane Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Ardhi Lilian Wilson shilingi milioni moja,Suzana Senga laki 5 na  OmbeniKaaya laki tatu,Swali la tweet bora Septemba 2013 ni: Rasilimali za nchi hii zinawezaje kutumika kuongeza ajira kwa vijana ? waweza kutuma tweet ya majibu kwa @regmengi

Popular Posts

Labels