Friday, September 20, 2013
VYUO VIKUU VYA UINGEREZA KUTOA ELIMU BURE KWA NJIA YA TEKNOHAMA
Vyuo Vikuu 23 nchini Uingereza kwa kushirikiana na taasisi 3 zinazojihusisha na masuala ya siasa na utamaduni wa nchi hiyo vimeanzisha mafunzo ya bure kwa watu wote duniani kwa kwa njia ya teknohama ( elimu mtandao) ambayo yataanza Oktoba 2013.
Utaratibu huo unaojulikana kwa jina la .future Learn utatoa mafunzo ya Ujasiriamali,Teknohama,Afya,Mazingira,Siasa,Sayansi,Usimamizi wa Biashara na masuala ya kurekodi muziki,mafunzo hayo ni mwendelezo wa vyuo hivyo wa kutoa elimu masafa kwa kipindi cha miaka 40 iliyopita.
Mafunzo haya yatakuwa yakitolewa bure kwa njia ya mtandao kupitia kompyuta,tabiti na simu za mkononi zenye uwezo wa kupata intanet.
Kujiunga na mafunzo hayo bofya hapa futurelearn
Popular Posts
-
Tathmini ya utafiti kutoka chuo kikuu cha Exeter nchini Uingereza, inaonyesha kuwa kiwango cha mbegu za uzazi za wanaume huathiriwa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) Dr. Ally Yahaya Simba(Pichani),amesema pamoja na mafanik...
-
Some tips on keeping your online financial and personal information safe. ...
-
Almost everyone takes lots of pictures and posts some of them online. With a little more planning of shots and editing, these pictures can ...
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano Mkoa wa Mwanza, Jonathan Abdallah Kasibu, akizungumza katika Semina kwa Watumiaji wa Huduma za Ma...
-
anzania imejaaliwa kuwa na kampuni na taasisi kadhaa zinazohusika na mawasiliano na nyingi ni binafsi zinazojiendesha kwa faida kubwa kabisa...
-
Mitandao ya kijamii ni mingi sana,ingawa facebook umekuwa maarufu pengine kuliko hata baadhi ya vituo vya redio ama televisheni. K...
-
Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania itafanya sherehe maalumu za kutimiza miaka 50 ya Uhuru katika Wiki ya Sayansi ...
-
You are cordially invited to TECHNOSUNDAY, a free outreach program aimed at equipping Tanzanians with often-neglected skills useful for e...