Friday, September 20, 2013
VYUO VIKUU VYA UINGEREZA KUTOA ELIMU BURE KWA NJIA YA TEKNOHAMA
Vyuo Vikuu 23 nchini Uingereza kwa kushirikiana na taasisi 3 zinazojihusisha na masuala ya siasa na utamaduni wa nchi hiyo vimeanzisha mafunzo ya bure kwa watu wote duniani kwa kwa njia ya teknohama ( elimu mtandao) ambayo yataanza Oktoba 2013.
Utaratibu huo unaojulikana kwa jina la .future Learn utatoa mafunzo ya Ujasiriamali,Teknohama,Afya,Mazingira,Siasa,Sayansi,Usimamizi wa Biashara na masuala ya kurekodi muziki,mafunzo hayo ni mwendelezo wa vyuo hivyo wa kutoa elimu masafa kwa kipindi cha miaka 40 iliyopita.
Mafunzo haya yatakuwa yakitolewa bure kwa njia ya mtandao kupitia kompyuta,tabiti na simu za mkononi zenye uwezo wa kupata intanet.
Kujiunga na mafunzo hayo bofya hapa futurelearn
Popular Posts
-
MTANZANIA ABUNI NA KUTENGENEZA PROGRAM TUMISHI YA KITABU CHA NYIMBO ZA KRISTO KATIKA VIFAA VYA APPLEMkurugenzi wa Mawasiliano wa Union Konferensi ya Kaskazini mwa Tanzania katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Tanzania Gideo...
-
Unapomblock mtu kwenye viber inamaana umezuia kuwasiliana na mtu yoyote kwa njia yoyote katika mtandao wa kijamii wa viber,huta...
-
ILI kuboresha utoaji huduma kwa umma hivi karibuni Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeanzisha utaratibu wa kupokea malala...
-
KAMA HAUKUJUA BASI JUA Na MBUKE TIMES Neno HACKER makusudio yake haswa sio kumaanisha mtu anayefanya vitendo vya kihalifu kwa kutu...
-
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) inatarajia kuzima rasmi mitambo ya analojia ya urushaji wa matangazo ya televisheni katika miji ya ...