Serikali,Kampuni ya Simu nchini Tanzania TTCL na kampuni binafsi ya mawasiliano ya Soft Net,imetiliana saini mkataba kuendesha miradi ya utekelezaji wa mtandao wa mawasiliano serikalini.
Naye Katibu Mkuu ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma George Yambesi amesema mtandao wa mawasiliano wa serikali ni muhimu kwani utasaidia kupanua wigo wa mawasiliano na pia kuwa kichocheo cha maendeleo ya kiuchumi nchini Tanzania.
Mradi huo una lengo la kuunganisha taasisi za serikali pamoja na kusaidia upatikanaji wa taarifa sahihi za kwa haraka.
Kwa upande wao wawakilishi wa TCCL na Soft Net wamesema mradi huo unatajia kugharimu zaidi ya shilingi bilioni 2 za kitanzania utahudumia taasisi 72 za Wizara,idara 19 zitakazojitegemea pamoja na wakala 30 za serikali.
Wednesday, April 16, 2014
Popular Posts
-
Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania Dr Godwin Lekundayo akiwaongoza viongozi wenzake katika maombi wakati wa ugawaji wa...
-
China imezifungia tovuti 110 ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kitaifa ya kuzuia masuala ya ngono kwenye mitandao.Imeeleza taarifa ya serikal...
-
Bunduki ya plastiki iliyotengenezwa kwa mashine ya 3D ikifyatua risasi wakati wa majaribio Photo credits: Screenshot from ATF Video Kam...
-
Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dr Jakaya Mrisho Kikwete amezindua Mtambo Maalum wa Usimamizi na Uhakiki wa M...
-
Program Tumishi maarufu ya mawasiliano ya ujumbe wa papo kwa papo katika simu za BlackBerry inayojulikana kwa jina la BlackBerry Mes...
-
Mtandao wa kijamii wa Facebook umenunua programu tumishi ya huduma za ujumbe mfupi wa maneno ya WhatsApp kwa dola za marekani bilioni ...
-
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya kati imewataka watangazaji wa radio, luninga na mitandao ya kijamii kuwa makini na hab...
-
Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL) jana imekabidhi mradi wa mawasiliano utaotumiwa katika mikoa 12 ya Tanzania kwa ofisi ya Mkaguzi na ...
-
Kampuni ya Google kupitia huduma yake ya kutafuta jambo sasa imeanzisha utaratibu wa kutoa majibu ya moja kwa moja kwa maswali kuhus...