Serikali,Kampuni ya Simu nchini Tanzania TTCL na kampuni binafsi ya mawasiliano ya Soft Net,imetiliana saini mkataba kuendesha miradi ya utekelezaji wa mtandao wa mawasiliano serikalini.
Naye Katibu Mkuu ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma George Yambesi amesema mtandao wa mawasiliano wa serikali ni muhimu kwani utasaidia kupanua wigo wa mawasiliano na pia kuwa kichocheo cha maendeleo ya kiuchumi nchini Tanzania.
Mradi huo una lengo la kuunganisha taasisi za serikali pamoja na kusaidia upatikanaji wa taarifa sahihi za kwa haraka.
Kwa upande wao wawakilishi wa TCCL na Soft Net wamesema mradi huo unatajia kugharimu zaidi ya shilingi bilioni 2 za kitanzania utahudumia taasisi 72 za Wizara,idara 19 zitakazojitegemea pamoja na wakala 30 za serikali.
Wednesday, April 16, 2014
Popular Posts
-
Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania Dr Godwin Lekundayo akiwaongoza viongozi wenzake katika maombi wakati wa ugawaji wa...
-
1.Kutune Gitaa /Kutafuta Ufunguo wa Sauti ya Gitaa Kulikuwa na wakati ambapo bei ya vifaa vya umeme kwa ajili ya kutafuta ...
-
Mvumbuzi wa programu hii ya Kighana Herman Chinery-Hesse alitaka kuchukua hatua dhidi ya matukio ...
-
KAMA HAUKUJUA BASI JUA Na MBUKE TIMES Neno HACKER makusudio yake haswa sio kumaanisha mtu anayefanya vitendo vya kihalifu kwa kutu...