Serikali,Kampuni ya Simu nchini Tanzania TTCL na kampuni binafsi ya mawasiliano ya Soft Net,imetiliana saini mkataba kuendesha miradi ya utekelezaji wa mtandao wa mawasiliano serikalini.
Naye Katibu Mkuu ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma George Yambesi amesema mtandao wa mawasiliano wa serikali ni muhimu kwani utasaidia kupanua wigo wa mawasiliano na pia kuwa kichocheo cha maendeleo ya kiuchumi nchini Tanzania.
Mradi huo una lengo la kuunganisha taasisi za serikali pamoja na kusaidia upatikanaji wa taarifa sahihi za kwa haraka.
Kwa upande wao wawakilishi wa TCCL na Soft Net wamesema mradi huo unatajia kugharimu zaidi ya shilingi bilioni 2 za kitanzania utahudumia taasisi 72 za Wizara,idara 19 zitakazojitegemea pamoja na wakala 30 za serikali.
Wednesday, April 16, 2014
Popular Posts
-
Benki ya CRDB imewaonya wateja wake kuwa makini na baadhi ya mitandao inayoibuka na kulaghai kwa kuwataka wananchi,kutoa taarifa zao muhimu ...
-
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Profesa Sifuni Mchome akizungumza kabla ya kuzindua rasmi maonesho ya Tehama yanayoend...
-
Laini za simu za mitandao ya simu nchini Tanzania ambazo hazijasajiliwa zitazimwa rasmi Julai 10, mwaka huu. Naibu Waz...
-
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA Kufuatana na kifungu nambari 41 cha Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki ...