Shule ya sekondari ya Waadventista Wa Sabato {Tass} imepokea jumla ya
komputa hamsini zitakazotumika katika mafunzo ya utafiti kivitendo
katika maabara ya kisasa ya sayansi iliyozinduliwa hivi karibuni.
Hayo yamesemwa na mkuu wa shule hiyo mwl joseph kehengu wakati
akiwasilisha taarifa ya shule kwa mgeniRasmi,wanahabari,wanafunzi na
wazazi kwenye mahafali ya kwanza ya kidato cha sita Tangu shule
ianzishwe mwka 1999.Bwana joseph alisema kuwa computa hizo zilizotolewa
na mmiliki wa shule hiyo ambaye ni kanisa la waadventista wasabato
Tanzania zitaleta mwamko mkubwa na hamasa kwa wanafunzi kupenda masomo
ya sayansi na zitawezesha utafiti wa maswala ya kisayansi
kufanyika kwa ufanisi zaidi.
Kwa upande mwingine
akijibu risala ya wanafunzi pamoja na taarifa ya mwalimu mkuu wa shule
katika mahafali ya kwanza ya kidato cha sita yaliyofanyika jana April 27
/2014 Mgeni rasmi katika mahafali hayo ndugu Wilson Kabwe mkurugenzi wa
jiji la
Dar es salaam awaasa wanafunzi wahitimu kutoridhika na kiwango
walichofika badala yake awasonge mbele zaidi kielimu.
Popular Posts
-
Google imezindua simu ya kisasa ya bei rahisi barani Afrika. Simu hiyo, Hot 2 ambayo haina 'makorokoro' mengi itaanza kupati...
-
Maswala ya udukuzi yameendelea kushika kasi katika maeneo mbali mbali ulimwenguni ambapo mataifa mbali mbali yameamua kuunganisha nguvu ...
-
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Profesa Makame Mbarawa, amesema uchumi wa Tanzania unaweza kukua kati ya asil...
-
Jeshi la Kujenga Taifa JKT limekanusha taarifa zinazosambazwa kwa njia ya ujumbe mfupi wa maneno kupitia simu za mkononina mitandao y...
-
Baadhi ya wakazi wa jijini Dar es salaam wakiwa wamepanga foleni ili kununua umeme jana Huduma ya manunuzi ya umeme kwa njia ya miamala...
-
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dares Salaam leo. ...
-
Itakumbukwa Mwishoni mwa mwezi wa tano mwaka huu katika hotuba yangu niliyo iwasilisha kwa wanausalama mitandao tulipo kutana jijini Johan...
-
Mtaalamu wa masuala ya usalama kwenye Mtandao Yusuph Kileo akiwasilisha mada Itakumbukwa katika mkutano uliofanyika mapema mwezi h...
-
Yusuph Kileo akitoa mada kwenye mkutano huo Mazungumzo ya awali kabla ya mkutano wa wanausalama mitandao uliokamilika jijini Johann...
-
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Kudumu za Serikali imebaini madudu yanayofanyika katika uwekezaji wa kampuni za simu nchini Tanzania ...