Shule ya sekondari ya Waadventista Wa Sabato {Tass} imepokea jumla ya
komputa hamsini zitakazotumika katika mafunzo ya utafiti kivitendo
katika maabara ya kisasa ya sayansi iliyozinduliwa hivi karibuni.
Hayo yamesemwa na mkuu wa shule hiyo mwl joseph kehengu wakati
akiwasilisha taarifa ya shule kwa mgeniRasmi,wanahabari,wanafunzi na
wazazi kwenye mahafali ya kwanza ya kidato cha sita Tangu shule
ianzishwe mwka 1999.Bwana joseph alisema kuwa computa hizo zilizotolewa
na mmiliki wa shule hiyo ambaye ni kanisa la waadventista wasabato
Tanzania zitaleta mwamko mkubwa na hamasa kwa wanafunzi kupenda masomo
ya sayansi na zitawezesha utafiti wa maswala ya kisayansi
kufanyika kwa ufanisi zaidi.
Kwa upande mwingine
akijibu risala ya wanafunzi pamoja na taarifa ya mwalimu mkuu wa shule
katika mahafali ya kwanza ya kidato cha sita yaliyofanyika jana April 27
/2014 Mgeni rasmi katika mahafali hayo ndugu Wilson Kabwe mkurugenzi wa
jiji la
Dar es salaam awaasa wanafunzi wahitimu kutoridhika na kiwango
walichofika badala yake awasonge mbele zaidi kielimu.
Popular Posts
-
Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL) jana imekabidhi mradi wa mawasiliano utaotumiwa katika mikoa 12 ya Tanzania kwa ofisi ya Mkaguzi na ...
-
Miaka michache iliyopita kulikuwa na changamoto ya kuhifadhi vitu sehemu ambayo mtu anaweza kutumia akiwa popote duniani akiwa ame...
-
Ofisa Biashara wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano, Thomas Lemunge akitoa ufafanuzi katika semina kwa wahariri juu ya mkongo wa taifa katika...