Shule ya sekondari ya Waadventista Wa Sabato {Tass} imepokea jumla ya
komputa hamsini zitakazotumika katika mafunzo ya utafiti kivitendo
katika maabara ya kisasa ya sayansi iliyozinduliwa hivi karibuni.
Hayo yamesemwa na mkuu wa shule hiyo mwl joseph kehengu wakati
akiwasilisha taarifa ya shule kwa mgeniRasmi,wanahabari,wanafunzi na
wazazi kwenye mahafali ya kwanza ya kidato cha sita Tangu shule
ianzishwe mwka 1999.Bwana joseph alisema kuwa computa hizo zilizotolewa
na mmiliki wa shule hiyo ambaye ni kanisa la waadventista wasabato
Tanzania zitaleta mwamko mkubwa na hamasa kwa wanafunzi kupenda masomo
ya sayansi na zitawezesha utafiti wa maswala ya kisayansi
kufanyika kwa ufanisi zaidi.
Kwa upande mwingine
akijibu risala ya wanafunzi pamoja na taarifa ya mwalimu mkuu wa shule
katika mahafali ya kwanza ya kidato cha sita yaliyofanyika jana April 27
/2014 Mgeni rasmi katika mahafali hayo ndugu Wilson Kabwe mkurugenzi wa
jiji la
Dar es salaam awaasa wanafunzi wahitimu kutoridhika na kiwango
walichofika badala yake awasonge mbele zaidi kielimu.
Popular Posts
-
1.Kutune Gitaa /Kutafuta Ufunguo wa Sauti ya Gitaa Kulikuwa na wakati ambapo bei ya vifaa vya umeme kwa ajili ya kutafuta ...
-
Kampuni ya simu Tanzania (TTCL) inatarajia kuzindua kituo kikubwa cha kuuzia intaneti Afrika Mashariki mwishoni mwa mwezi julai au Agosti mw...
-
Serikali ya Tanzania imesema inatoza kodi ya shilingi 1,000 kwa mwezi kwa kila laini yenye namba ya simu.Umoja wa Makampuni ya mi...
-
Facebook ni mtandao wa kijamii ambao unaendelea kuongoza kwa kuwa na watumiaji wengi duniani hata hiyo utafiti unaonesha kuwa vijana ...
-
Afisa wa Taasisi ya uwezeshaji na ujengaji uwezo kwa wateknohama nchini KINU, Catherinerose Barretto akimkabidhi cheti Ally Said toka P...
-
Idadi ya watu wanaotumia huduma ya mtandao wa Intaneti nchini Tanzania imeongezeka kutoka watu 26,000 mwaka 2000 hadi kufikia watu mili...
-
MTANZANIA ABUNI NA KUTENGENEZA PROGRAM TUMISHI YA KITABU CHA NYIMBO ZA KRISTO KATIKA VIFAA VYA APPLEMkurugenzi wa Mawasiliano wa Union Konferensi ya Kaskazini mwa Tanzania katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Tanzania Gideo...
-
Mwanafunzi mwenye umri wa miaka 25 ambaye alidukua komputa za Chuo Kikuu cha Birmingham na kuongeza alama za mtihani amefungwa...
-
Wakati matukio ya wizi wa fedha katika mashine maalumu za kutolea fedha katika benki maarufu kwa jina la ATM yakiendelea kuripotiwa na vyomb...