Shule ya sekondari ya Waadventista Wa Sabato {Tass} imepokea jumla ya
komputa hamsini zitakazotumika katika mafunzo ya utafiti kivitendo
katika maabara ya kisasa ya sayansi iliyozinduliwa hivi karibuni.
Hayo yamesemwa na mkuu wa shule hiyo mwl joseph kehengu wakati
akiwasilisha taarifa ya shule kwa mgeniRasmi,wanahabari,wanafunzi na
wazazi kwenye mahafali ya kwanza ya kidato cha sita Tangu shule
ianzishwe mwka 1999.Bwana joseph alisema kuwa computa hizo zilizotolewa
na mmiliki wa shule hiyo ambaye ni kanisa la waadventista wasabato
Tanzania zitaleta mwamko mkubwa na hamasa kwa wanafunzi kupenda masomo
ya sayansi na zitawezesha utafiti wa maswala ya kisayansi
kufanyika kwa ufanisi zaidi.
Kwa upande mwingine
akijibu risala ya wanafunzi pamoja na taarifa ya mwalimu mkuu wa shule
katika mahafali ya kwanza ya kidato cha sita yaliyofanyika jana April 27
/2014 Mgeni rasmi katika mahafali hayo ndugu Wilson Kabwe mkurugenzi wa
jiji la
Dar es salaam awaasa wanafunzi wahitimu kutoridhika na kiwango
walichofika badala yake awasonge mbele zaidi kielimu.
Popular Posts
-
Mamlaka ya Mawasilino Tanzania, TCRA, imesema watumiaji wa namba za simu ambazo hazikusajiliwa, watakatiwa mawasiliano ifikapo Juni M...
-
Polisi kanda maalumu ya Dar es salaam wamezungumzia utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi na kusema wengi wanaofanya hivyo husajili...
-
Google I/O ni kongamano linalofanyika kila mwaka California kwa kuwakutanisha Developers wa bidhaa za Google kama Android , Chrome , Chrom...
-
Afisa wa Taasisi ya uwezeshaji na ujengaji uwezo kwa wateknohama nchini KINU, Catherinerose Barretto akimkabidhi cheti Ally Said toka P...
-
Picha na Salim Kikeke Kuanzia sasa kudanganya kwamba mtu hakupata ujumbe wako wa WhatsApp itakuwa historia, au kud...
-
Microsoft is switching off its Windows Live Messenger service on 15 March. On that date Messenger log-ins will no longer work a...
-
Mwezeshaji wa kipindi cha Maisha na Teknohama cha Morning Star Radio,Johnson Mziray akichangia jambo kwenye warsha hiyo,pembeni yake mweny...
-
Idadi ya watu wanaotumia huduma ya mtandao wa Intaneti nchini Tanzania imeongezeka kutoka watu 26,000 mwaka 2000 hadi kufikia watu mili...
-
Masomo kwa njia ya mtandao(Online Studies) kwa miaka ya hivi karibuni yamekuwa yakitolewa bure na baadhi ya Vyuo Duniani. Mfano katika...