Tuesday, January 8, 2013

WARSHA YA MAWASILIANO YA KANISA LA WAADVENTISTA WASABATO

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania Mch Musa Mika akizungumza na wanahabari kuhusu warsha ya Mawasiliano inayofanyika katika Hoteli ya Rombo Green View jijini Dar es salaam

 
 Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania Mch Godwin Lekundayo akifungua warsha hiyo

 Daryl Gungadoo(aliyevaa miwani)toka Radio ya Waadventista Ulimwenguni  Uingereza na John Beckett toka idara ya mawasiliano ya kanisa la waadventista nchini Marekani wakiweka mambo sawa na kufuatilia kinachoendelea katika washa hiyo

Popular Posts

Labels