Polisi kanda maalumu ya Dar es salaam wamezungumzia utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi na kusema wengi wanaofanya hivyo husajili laini kwa majina ya uongo.
Kamishna Msaidizi wa Polisi na Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalumu ya Dar es salaam,Ahmed Msangi amehadharisha wananchi kwa kutaka kuwa makini katika kutuma fedha kwa njia ya simu.
Alikuwa akizungumza na mwandishi wa habari wa gazeti la Habari Leo juu ya utapeli uliohusisha kampuni ya ndege ya kimataifa ya Qatar ambao baadhi ya watu wameibiwa pesa zao baada ya kuzituma kwa watu waliojifanya ni maofisa wa kampuni hiyo kwa ahadi ya kupatiwa kazi.
Kaimu meneja Mawasiliano Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA,Semu Mkwakanjala anasema alisema wanafanya mikutano kadhaa na kampuni za simu za mikononi kukumbusha kufuata utaratibu wa usajili wa namba unaozingatia sheria ili kuepusha kuendelea kutokea kwa uhalifu kupitia simu za mkononi.
Popular Posts
-
SERIKALI YA TANZANIA YASEMA:KUTOA TAARIFA ZA SIRI KATIKA MAWASILIANO YA ELEKTRONIKI NI KOSA LA JINAITAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Jana na leo, Serikali ya Tanzania imeona kuzuka kwa tabia ya uvunjaji wa kanuni ya utunza...
-
Facebook wametangaza kitu kipya kwa simu za Android walichokipa jina la Home. Kwa muda mrefu kulikuwa na uvumi kuwa Facebook wana...
-
Microsoft is switching off its Windows Live Messenger service on 15 March. On that date Messenger log-ins will no longer work a...
-
Watu wengi wameshaona filamu ambazo wahalifu wakidukua simu za mikononi hata kama zimezimwa. Kama ili...
-
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Dr Ally Simba Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imevitaka vituo vya redio na televi...
-
Na Yusuph Kileo Nchi ya Tanzania yabahatika tena kwa mara ya tatu kuwa mwenyeji wa mkutano wa “Connect 2 Connect” ambapo kauli mbiu ya...
-
Kanisa la River Side lililopo mtaa wa Njiro jijini Arusha, Tanzania, limetangazwa kuwa ni kanisa pekee barani Afrika ambalo limefikia...