Thursday, March 28, 2019

APPLE YATOA SASISHO LA PROGRAM ENDESHI YA iOS 12.2


Apple wametoa Sasisho la Program Endeshi ya  iOS 12.2  kwa ajili ya  iPhone, iPad, and iPod toleo ambalo litawezesha wenye vifaa vya hivyo kunufaika za Apple zilizotambulishwa jumatatu ya Machi 25 mwaka huu nchini Marekani ikiwemo huduma ya kupata habari iitwayo Apple News+

 Apple pia wameongeza imoji,ambapo iOS 12.2 itamwezesha mtumiaji wa huduma ya  Siri  iliyopo katika vifaa hivyo kuongoza  Apple TV kwa kutumia  iPhone au  iPad. 

 Miongoni mwa madiliko yaliyokuja na sasisho la iOS 12.2 ni kukusianisha kwa Apple News+ na Apple  News iliyokuwepo mwanzo,
 ambapo huduma hii ya kulipia itawawezesha watumiaji wa vifaa vya Apple waliopakua sasisho hili jipya kupata zaidi ya magazeti mtandao 300,na machapisho mengine ya habari ya kidigitali.

Popular Posts

Labels